VETA
Mbeya ni Chuo cha mkoa kinachomilikiwa na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo
ya ufundi stadi (VETA) na kipo katika kanda ya Kusini Magharibi
inayojumuisha mikoa ya Mbeya ,Rukwa. Na Katavi
Chuo
hiki kipo kata ya MANGA VETA umbali wa kilomita moja toka barabara kuu
ya Tanzania, Zambia. Njia panda ya kuingia chuoni iko karibu kiwanja cha
shule ya msingi Kagera.
Chuo
cha VETA Mbeya kinatoa mafunzo ya muda mrefu na mfupi katika fani mbali
mbali kulingana na mahitaji ya soko na matakwa ya mteja.
Je,wanafunzi waliomaliza elimu ya msingi wanaweza kujiunga na chuo?
ReplyDeleteJe kuna matawi mangapi ya Veta kwa mkoa wa Mbeya?
ReplyDelete